Isaiah 18:1-2

Unabii Dhidi Ya Kushi

1 aOle kwa nchi ya mvumo wa mabawa,
Au: wa nzige.

kando ya mito ya Kushi,
2 ciwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari
kwa mashua za mafunjo juu ya maji.

Nendeni, wajumbe wepesi,
kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo,
kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu,
taifa gomvi lenye lugha ngeni,
ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito.
Copyright information for SwhNEN